Ujumbe, 25 Julai 2025
“Wanangu wapendwa! Katika wakati huu wa neema, ambao Aliye Juu ameniruhusu niwapende ninyi na kuwaongoza kwenye njia ya utakatifu, Shetani anataka kuwatia ninyi kwa kamba ya kutotulia na chuki. Msimruhusu ashinde, bali piganeni, wanangu, kwa ajili ya utakatifu wa kila maisha ya mwanadamu. Asanteni kwa kuitikia wito wangu. ”